1. Wokovu wa Wenye Dhambi Unafunuliwa Katika Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-21)

Episode 1 January 24, 2023 01:43:32
1. Wokovu wa Wenye Dhambi Unafunuliwa Katika Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-21)
HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (III): Ubainisho wa Injili ya Maji na Roho
1. Wokovu wa Wenye Dhambi Unafunuliwa Katika Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-21)

Jan 24 2023 | 01:43:32

/

Show Notes

Wigo wa mstahili wa ua wa Hema Takatifu la Kukutania ulikuwa na dhiraa 100 kwa urefu. Katika Biblia, dhiraa moja ulikuwa ni urefu unaoanzia katika kiwiko cha mtu hadi katika ncha ya kidole, takribani sawa na sentimita 45 kwa vipimo vya kisasa. Kwa hiyo, wigo wa ua wa Hema Takatifu la Kukutania ulikuwa ni dhiraa 100 maana yake ni kwamba ulikuwa na urefu wa mita 45, na kule kusema kwamba urefu wake ulikuwa ni dhiraa 50 maana yake ni kuwa upana wake ulikuwa takribani mita 22.5. Kwa hiyo, hivi vilikuwa ndivyo vipimo vya Nyumba ambayo Mungu aliishi kati ya watu wa Israeli katika kipindi cha Agano la Kale.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 13

January 24, 2023 01:00:58
Episode Cover

13. Vifaa Vilivyotumika Katika Mavazi ya Kuhani Mkuu (Kutoka 28:1-14)

Hebu sasa tuangalie vifaa vilivyotumika katika kutengenezea mavazi ya Kuhani Mkuu. Naivera ilikuwa ni kifaa cha ajabu katika mavazi yaliyovaliwa na Kuhani Mkuu. Hii...

Listen

Episode 9

January 24, 2023 00:53:05
Episode Cover

9. Utakatifu Kwa Bwana (Kutoka 28:36-43)

Mungu anatuonyesha nini kupitia kilemba hiki cha Kuhani Mkuu? Kilemba na yale mapambo yake vina maanisha kwamba Yesu Kristo alizichukua dhambi zetu zote kwa...

Listen

Episode 6

January 24, 2023 00:43:20
Episode Cover

6. Kiti cha Rehema (Kutoka 25:10-22)

Ndani ya Hema Takatifu la Kukutania kulikuwa kumegawanyika katika sehemu kuu mbili: Mahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu. Kulikuwa na pazia kati ya sehemu...

Listen