10. Kifuko cha Kifuani cha Hukumu (Kutoka 28:15-30)

Episode 10 January 24, 2023 01:01:59
10. Kifuko cha Kifuani cha Hukumu (Kutoka 28:15-30)
HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (III): Ubainisho wa Injili ya Maji na Roho
10. Kifuko cha Kifuani cha Hukumu (Kutoka 28:15-30)

Jan 24 2023 | 01:01:59

/

Show Notes

Hebu sasa tukiangalie kifuko cha kifuani ambacho Kuhani Mkuu alikitumia katika kuwahukumu watu wa Israeli. Kifungu cha maandiko hapo juu kinatueleza kuwa kifuko cha kifuani cha hukumu kilitengenezwa kwa kitambaa kilichokuwa na mraba unaolingana kwa vipimo kwa urefu na upana wake. Kitambaa hiki kilikuwa kimefumwa kiujuzi kwa nyuzi za dhahabu, za bluu, za zambarau, na nyekundu na kitani safi ya kusokotwa. Vito kumi na mbili vya thamani viliwekwa katika kitambaa hiki huku kila mstari ukiwa na vito vitatu na hivyo kufanya jumla ya mistari minne. Pia Mungu alimwambia Musa kuweka Urimu na Thumimu katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu. Urimu na Thumimu zina maanisha ni ‘mwanga na ukamilifu.’

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 7

January 24, 2023 00:55:46
Episode Cover

7. Vikombe Vya Mapambo Kwa Injili ya Maji na Roho (Kutoka 25:31-40)

Kifungu hiki kinaelezea juu ya kinara cha taa cha Hema Takatifu la Kukutania. Leo nitapenda kuelezea juu ya maana ya kiroho ya vikombe hivi...

Listen

Episode 13

January 24, 2023 01:00:58
Episode Cover

13. Vifaa Vilivyotumika Katika Mavazi ya Kuhani Mkuu (Kutoka 28:1-14)

Hebu sasa tuangalie vifaa vilivyotumika katika kutengenezea mavazi ya Kuhani Mkuu. Naivera ilikuwa ni kifaa cha ajabu katika mavazi yaliyovaliwa na Kuhani Mkuu. Hii...

Listen

Episode 3

January 24, 2023 00:45:18
Episode Cover

3. Madhabahu ya Sadaka ya Kuteketezwa Iliyotengenezwa Kwa Mti wa Mshita na Kufunikwa Kwa Shaba (Kutoka 38:1-7)

Ili mwenye dhambi yeyote kati ya watu wa Israeli aweze kuondolewa dhambi zake, basi ilimpasa kuleta mnyama wa sadaka ya kuteketezwa katika Hema Takatifu...

Listen