10. Kifuko cha Kifuani cha Hukumu (Kutoka 28:15-30)

Episode 10 January 24, 2023 01:01:59
10. Kifuko cha Kifuani cha Hukumu (Kutoka 28:15-30)
HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (III): Ubainisho wa Injili ya Maji na Roho
10. Kifuko cha Kifuani cha Hukumu (Kutoka 28:15-30)

Jan 24 2023 | 01:01:59

/

Show Notes

Hebu sasa tukiangalie kifuko cha kifuani ambacho Kuhani Mkuu alikitumia katika kuwahukumu watu wa Israeli. Kifungu cha maandiko hapo juu kinatueleza kuwa kifuko cha kifuani cha hukumu kilitengenezwa kwa kitambaa kilichokuwa na mraba unaolingana kwa vipimo kwa urefu na upana wake. Kitambaa hiki kilikuwa kimefumwa kiujuzi kwa nyuzi za dhahabu, za bluu, za zambarau, na nyekundu na kitani safi ya kusokotwa. Vito kumi na mbili vya thamani viliwekwa katika kitambaa hiki huku kila mstari ukiwa na vito vitatu na hivyo kufanya jumla ya mistari minne. Pia Mungu alimwambia Musa kuweka Urimu na Thumimu katika kile kifuko cha kifuani cha hukumu. Urimu na Thumimu zina maanisha ni ‘mwanga na ukamilifu.’

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 11

January 24, 2023 00:50:49
Episode Cover

11. Sadaka ya Dhambi Ili Kumsimika Kuhani Mkuu (Kutoka 29:1-14)

Leo hii hebu tuangalie katika kumsimika Kuhani Mkuu. Hapa tunaona kwamba Mungu alimwamuru Musa jinsi yay kumsimika Haruni na wanawe kwa kina. Neno “kusimika”...

Listen

Episode 8

January 24, 2023 00:55:35
Episode Cover

8. Maana za Kiroho Zilizofichika Katika Mavazi ya Kuhani Mkuu (Kutoka 28:1-43)

Leo tutakwenda kuangalia juu ya maana za kiroho zilizofichika katika mavazi ya Kuhani Mkuu. Haruni alipaswa kuyavaa mavazi haya pamoja na watoto wake. Kwa...

Listen

Episode 6

January 24, 2023 00:43:20
Episode Cover

6. Kiti cha Rehema (Kutoka 25:10-22)

Ndani ya Hema Takatifu la Kukutania kulikuwa kumegawanyika katika sehemu kuu mbili: Mahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu. Kulikuwa na pazia kati ya sehemu...

Listen