9. Utakatifu Kwa Bwana (Kutoka 28:36-43)

Episode 9 January 24, 2023 00:53:05
9. Utakatifu Kwa Bwana (Kutoka 28:36-43)
HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (III): Ubainisho wa Injili ya Maji na Roho
9. Utakatifu Kwa Bwana (Kutoka 28:36-43)

Jan 24 2023 | 00:53:05

/

Show Notes

Mungu anatuonyesha nini kupitia kilemba hiki cha Kuhani Mkuu? Kilemba na yale mapambo yake vina maanisha kwamba Yesu Kristo alizichukua dhambi zetu zote kwa kupitia ubatizo wake alioupokea toka kwa Yohana Mbatizaji na kwa sababu hiyo amezisafishilia mbali dhambi zetu zote.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 11

January 24, 2023 00:50:49
Episode Cover

11. Sadaka ya Dhambi Ili Kumsimika Kuhani Mkuu (Kutoka 29:1-14)

Leo hii hebu tuangalie katika kumsimika Kuhani Mkuu. Hapa tunaona kwamba Mungu alimwamuru Musa jinsi yay kumsimika Haruni na wanawe kwa kina. Neno “kusimika”...

Listen

Episode 1

January 24, 2023 01:43:32
Episode Cover

1. Wokovu wa Wenye Dhambi Unafunuliwa Katika Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-21)

Wigo wa mstahili wa ua wa Hema Takatifu la Kukutania ulikuwa na dhiraa 100 kwa urefu. Katika Biblia, dhiraa moja ulikuwa ni urefu unaoanzia...

Listen

Episode 3

January 24, 2023 00:45:18
Episode Cover

3. Madhabahu ya Sadaka ya Kuteketezwa Iliyotengenezwa Kwa Mti wa Mshita na Kufunikwa Kwa Shaba (Kutoka 38:1-7)

Ili mwenye dhambi yeyote kati ya watu wa Israeli aweze kuondolewa dhambi zake, basi ilimpasa kuleta mnyama wa sadaka ya kuteketezwa katika Hema Takatifu...

Listen