9. Utakatifu Kwa Bwana (Kutoka 28:36-43)

Episode 9 January 24, 2023 00:53:05
9. Utakatifu Kwa Bwana (Kutoka 28:36-43)
HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (III): Ubainisho wa Injili ya Maji na Roho
9. Utakatifu Kwa Bwana (Kutoka 28:36-43)

Jan 24 2023 | 00:53:05

/

Show Notes

Mungu anatuonyesha nini kupitia kilemba hiki cha Kuhani Mkuu? Kilemba na yale mapambo yake vina maanisha kwamba Yesu Kristo alizichukua dhambi zetu zote kwa kupitia ubatizo wake alioupokea toka kwa Yohana Mbatizaji na kwa sababu hiyo amezisafishilia mbali dhambi zetu zote.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 8

January 24, 2023 00:55:35
Episode Cover

8. Maana za Kiroho Zilizofichika Katika Mavazi ya Kuhani Mkuu (Kutoka 28:1-43)

Leo tutakwenda kuangalia juu ya maana za kiroho zilizofichika katika mavazi ya Kuhani Mkuu. Haruni alipaswa kuyavaa mavazi haya pamoja na watoto wake. Kwa...

Listen

Episode 5

January 24, 2023 01:06:35
Episode Cover

5. Maana ya Kiroho ya Vikuku vya Fedha Vilivyotumika Katika Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 26:15-30)

Mbao zote za Hema Takatifu la Kukutania mahali ambapo Mungu alikaa zilikuwa zimefunikwa kwa dhahabu. Mungu alimwambia Musa kutengeneza vikuku vya fedha ili kuushikiza...

Listen

Episode 4

January 24, 2023 00:47:58
Episode Cover

4. Madhabahu ya Uvumba Ni Mahali Ambapo Mungu Anaitoa Neema Yake (Kutoka 30:1-10)

Kama tungeliingia ndani ya Mahali Patakatifu, ambapo ni Nyumba ya Mungu, kitu cha kwanza ambacho tungelikiona ni kinara cha taa, meza ya mikate ya...

Listen