12. Kuhani Mkuu Aliyetoa Sadaka Siku ya Upatanisho (Mambo ya Walawi 16:1-34)

Episode 12 January 24, 2023 01:35:29
12. Kuhani Mkuu Aliyetoa Sadaka Siku ya Upatanisho (Mambo ya Walawi 16:1-34)
HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (III): Ubainisho wa Injili ya Maji na Roho
12. Kuhani Mkuu Aliyetoa Sadaka Siku ya Upatanisho (Mambo ya Walawi 16:1-34)

Jan 24 2023 | 01:35:29

/

Show Notes

Ni Kuhani Mkuu ndiye aliyetoa sadaka katika Siku ya Upatanisho kwa ajili ya watu wa Israeli. Sadaka hii ilitolewa mara moja kwa mwaka siku ya kumi ya mwezi wa saba katika kalenda ya Kiisraeli. Katika siku hii, wakati Kuhani Mkuu Haruni alipotoa sadaka kwa niaba ya watu wa Israeli kwa ajili yao, basi maovu yao yote yalipitishwa kwenda kwa mwanasadaka huyu wa sadaka ya kuteketezwa na kisha kusafishiliwa mbali. Hivyo, Siku ya Upatanisho ilikuwa ni sikukuu kubwa kwa watu wa Israeli.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 10

January 24, 2023 01:01:59
Episode Cover

10. Kifuko cha Kifuani cha Hukumu (Kutoka 28:15-30)

Hebu sasa tukiangalie kifuko cha kifuani ambacho Kuhani Mkuu alikitumia katika kuwahukumu watu wa Israeli. Kifungu cha maandiko hapo juu kinatueleza kuwa kifuko cha...

Listen

Episode 2

January 24, 2023 01:04:06
Episode Cover

2. Nguzo za Ua wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-19)

Kifungu hiki kinaelezea juu ya nguzo, lango la pazia, mapazia ya kitani safi ya kusokotwa, mikanda, vishikizio, vikuku vya shaba, na vigingi vya shaba...

Listen

Episode 3

January 24, 2023 00:45:18
Episode Cover

3. Madhabahu ya Sadaka ya Kuteketezwa Iliyotengenezwa Kwa Mti wa Mshita na Kufunikwa Kwa Shaba (Kutoka 38:1-7)

Ili mwenye dhambi yeyote kati ya watu wa Israeli aweze kuondolewa dhambi zake, basi ilimpasa kuleta mnyama wa sadaka ya kuteketezwa katika Hema Takatifu...

Listen