11. Sadaka ya Dhambi Ili Kumsimika Kuhani Mkuu (Kutoka 29:1-14)

Episode 11 January 24, 2023 00:50:49
11. Sadaka ya Dhambi Ili Kumsimika Kuhani Mkuu (Kutoka 29:1-14)
HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (III): Ubainisho wa Injili ya Maji na Roho
11. Sadaka ya Dhambi Ili Kumsimika Kuhani Mkuu (Kutoka 29:1-14)

Jan 24 2023 | 00:50:49

/

Show Notes

Leo hii hebu tuangalie katika kumsimika Kuhani Mkuu. Hapa tunaona kwamba Mungu alimwamuru Musa jinsi yay kumsimika Haruni na wanawe kwa kina. Neno “kusimika” ambalo linaonekana kimaana katika aya ya 9 maana yake hi kufanya kitu kuwa kitakatifu, kuandaa, kuweka wakfu, kumheshimu, na kumchukulia mtu au kitu kama kitakatifu. Kwa maneno mengine, kusimikwa maana yake ni kutakaswa na kuwekwa wakfu kwa ajili ya kazi ya Mungu. Hivyo, “kusimikwa kama Kuhani Mkuu” maana yake ni “kuwekwa kando ili kupewa mamlaka na majukumu ya Kuhani Mkuu.” Mungu alimpatia Haruni pamoja na wanawe haki ya kuwa Kuhani Mkuu na ukuhani ambao ulimwezesha kuwapatia watu wake ondoleo la dhambi.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 4

January 24, 2023 00:47:58
Episode Cover

4. Madhabahu ya Uvumba Ni Mahali Ambapo Mungu Anaitoa Neema Yake (Kutoka 30:1-10)

Kama tungeliingia ndani ya Mahali Patakatifu, ambapo ni Nyumba ya Mungu, kitu cha kwanza ambacho tungelikiona ni kinara cha taa, meza ya mikate ya...

Listen

Episode 9

January 24, 2023 00:53:05
Episode Cover

9. Utakatifu Kwa Bwana (Kutoka 28:36-43)

Mungu anatuonyesha nini kupitia kilemba hiki cha Kuhani Mkuu? Kilemba na yale mapambo yake vina maanisha kwamba Yesu Kristo alizichukua dhambi zetu zote kwa...

Listen

Episode 13

January 24, 2023 01:00:58
Episode Cover

13. Vifaa Vilivyotumika Katika Mavazi ya Kuhani Mkuu (Kutoka 28:1-14)

Hebu sasa tuangalie vifaa vilivyotumika katika kutengenezea mavazi ya Kuhani Mkuu. Naivera ilikuwa ni kifaa cha ajabu katika mavazi yaliyovaliwa na Kuhani Mkuu. Hii...

Listen