Leo hii hebu tuangalie katika kumsimika Kuhani Mkuu. Hapa tunaona kwamba Mungu alimwamuru Musa jinsi yay kumsimika Haruni na wanawe kwa kina. Neno “kusimika” ambalo linaonekana kimaana katika aya ya 9 maana yake hi kufanya kitu kuwa kitakatifu, kuandaa, kuweka wakfu, kumheshimu, na kumchukulia mtu au kitu kama kitakatifu. Kwa maneno mengine, kusimikwa maana yake ni kutakaswa na kuwekwa wakfu kwa ajili ya kazi ya Mungu. Hivyo, “kusimikwa kama Kuhani Mkuu” maana yake ni “kuwekwa kando ili kupewa mamlaka na majukumu ya Kuhani Mkuu.” Mungu alimpatia Haruni pamoja na wanawe haki ya kuwa Kuhani Mkuu na ukuhani ambao ulimwezesha kuwapatia watu wake ondoleo la dhambi.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Mbao zote za Hema Takatifu la Kukutania mahali ambapo Mungu alikaa zilikuwa zimefunikwa kwa dhahabu. Mungu alimwambia Musa kutengeneza vikuku vya fedha ili kuushikiza...
Mungu anatuonyesha nini kupitia kilemba hiki cha Kuhani Mkuu? Kilemba na yale mapambo yake vina maanisha kwamba Yesu Kristo alizichukua dhambi zetu zote kwa...
Kifungu hiki kinaelezea juu ya kinara cha taa cha Hema Takatifu la Kukutania. Leo nitapenda kuelezea juu ya maana ya kiroho ya vikombe hivi...