11. Sadaka ya Dhambi Ili Kumsimika Kuhani Mkuu (Kutoka 29:1-14)

Episode 11 January 24, 2023 00:50:49
11. Sadaka ya Dhambi Ili Kumsimika Kuhani Mkuu (Kutoka 29:1-14)
HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (III): Ubainisho wa Injili ya Maji na Roho
11. Sadaka ya Dhambi Ili Kumsimika Kuhani Mkuu (Kutoka 29:1-14)

Jan 24 2023 | 00:50:49

/

Show Notes

Leo hii hebu tuangalie katika kumsimika Kuhani Mkuu. Hapa tunaona kwamba Mungu alimwamuru Musa jinsi yay kumsimika Haruni na wanawe kwa kina. Neno “kusimika” ambalo linaonekana kimaana katika aya ya 9 maana yake hi kufanya kitu kuwa kitakatifu, kuandaa, kuweka wakfu, kumheshimu, na kumchukulia mtu au kitu kama kitakatifu. Kwa maneno mengine, kusimikwa maana yake ni kutakaswa na kuwekwa wakfu kwa ajili ya kazi ya Mungu. Hivyo, “kusimikwa kama Kuhani Mkuu” maana yake ni “kuwekwa kando ili kupewa mamlaka na majukumu ya Kuhani Mkuu.” Mungu alimpatia Haruni pamoja na wanawe haki ya kuwa Kuhani Mkuu na ukuhani ambao ulimwezesha kuwapatia watu wake ondoleo la dhambi.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 10

January 24, 2023 01:01:59
Episode Cover

10. Kifuko cha Kifuani cha Hukumu (Kutoka 28:15-30)

Hebu sasa tukiangalie kifuko cha kifuani ambacho Kuhani Mkuu alikitumia katika kuwahukumu watu wa Israeli. Kifungu cha maandiko hapo juu kinatueleza kuwa kifuko cha...

Listen

Episode 2

January 24, 2023 01:04:06
Episode Cover

2. Nguzo za Ua wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 27:9-19)

Kifungu hiki kinaelezea juu ya nguzo, lango la pazia, mapazia ya kitani safi ya kusokotwa, mikanda, vishikizio, vikuku vya shaba, na vigingi vya shaba...

Listen

Episode 5

January 24, 2023 01:06:35
Episode Cover

5. Maana ya Kiroho ya Vikuku vya Fedha Vilivyotumika Katika Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 26:15-30)

Mbao zote za Hema Takatifu la Kukutania mahali ambapo Mungu alikaa zilikuwa zimefunikwa kwa dhahabu. Mungu alimwambia Musa kutengeneza vikuku vya fedha ili kuushikiza...

Listen