6. Kiti cha Rehema (Kutoka 25:10-22)

Episode 6 January 24, 2023 00:43:20
6. Kiti cha Rehema (Kutoka 25:10-22)
HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (III): Ubainisho wa Injili ya Maji na Roho
6. Kiti cha Rehema (Kutoka 25:10-22)

Jan 24 2023 | 00:43:20

/

Show Notes

Ndani ya Hema Takatifu la Kukutania kulikuwa kumegawanyika katika sehemu kuu mbili: Mahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu. Kulikuwa na pazia kati ya sehemu hizo mbili, na Sanduku la Ushuhuda lilikuwa nyuma ya pazia hili na ndani ya Patakatifu pa Patakatifu. Mfuniko wa Sanduku la Ushuhuda unajulikana pia kwamba ni kiti cha rehema.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 9

January 24, 2023 00:53:05
Episode Cover

9. Utakatifu Kwa Bwana (Kutoka 28:36-43)

Mungu anatuonyesha nini kupitia kilemba hiki cha Kuhani Mkuu? Kilemba na yale mapambo yake vina maanisha kwamba Yesu Kristo alizichukua dhambi zetu zote kwa...

Listen

Episode 11

January 24, 2023 00:50:49
Episode Cover

11. Sadaka ya Dhambi Ili Kumsimika Kuhani Mkuu (Kutoka 29:1-14)

Leo hii hebu tuangalie katika kumsimika Kuhani Mkuu. Hapa tunaona kwamba Mungu alimwamuru Musa jinsi yay kumsimika Haruni na wanawe kwa kina. Neno “kusimika”...

Listen

Episode 4

January 24, 2023 00:47:58
Episode Cover

4. Madhabahu ya Uvumba Ni Mahali Ambapo Mungu Anaitoa Neema Yake (Kutoka 30:1-10)

Kama tungeliingia ndani ya Mahali Patakatifu, ambapo ni Nyumba ya Mungu, kitu cha kwanza ambacho tungelikiona ni kinara cha taa, meza ya mikate ya...

Listen